Home » Biashara

Biashara

09 November 2017
  Waziri wa Madini, Angela Kairuki amesema kuwa serikali inataraji kupata mrabaha zaidi katika madini ya Almasi yaliyokamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere kutoka kwa Kampuni ya Williamson Diamond iliyokuwa ikitaka kutoroshwa madini nchini kwenda Ubelgiji. Waziri Kairuki amesema hayo alipokuwa akizungumza na Waandishi... [Read More]
05 June 2017
WAZIRI WA MALISILI NA UTALII AZINDUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII NA VIWANDA MKOANI KILIMANJARO.   Waziri wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho ya tatu ya kimataifa ya Utalii yanayofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu Ushirika mjini Moshi. Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Devota... [Read More]
01 May 2017
Hatimaye anga ya mkoa wa Ruvuma Yasikika sauti ya ndege aina ya bombardier Baada ya kipindi cha miaka 22 kupita tangu shirika la ndege Tanzania ATCL kusitisha safari zake mkoani Ruvuma. Leo hii shirika limeanza rasimi kutoa huduma za usafiri huo.
14 February 2017
Utegemezi wa dawa za kulevya ni hali ya kuugua au isiyo ya kawaida ambayo hutokana na matumizi ya dawa ya mara kwa mara. Tatizo la dawa za kulevya linahusisha uendelezaji matumizi sugu ya dawa hadi kufikia tabia ya kutafuta dawa za kulevya, kuwa katika hatari ya kurejelea matumizi na upungufu wa uwezo wa kukabiliana na visisimuaji vya kuridhisha... [Read More]
10 October 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 06 Oktoba, 2016 amezindua kiwanda cha kusindika matunda kinachomilikiwa na kampuni za kitanzania za Bakhresa katika eneo la Mwandege, Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Kiwanda hicho ni miongoni mwa viwanda 13 vinavyomilikiwa na kampuni za Bakhresa vilivyopo Dar es Salaam na... [Read More]
03 July 2016
Maxcom Africa ltd inauwezo wa kukusanya Kodi moja kwa moja kwenda TRA   LINK https://www.youtube.com/watch?v=gsy8NCuA2c4&feature=youtu.be Maxcom Africa ltd inauwezo wa kukusanya Kodi moja kwa moja kwenda TRA bila TRA kuendelea kusubiri wakusanyaji wapeleke mapato TRA, kwani mara nyingine yanacheleweshwa kufika serekalini kwa sababu za... [Read More]
08 March 2016
Mkurugenzi Bodi ya Sukari nchini amesema bei ya rejareja ya sukari sasa itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja
16 February 2016
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawataarifu wafanyabiashara wote kuwa imeanza zoezi la kukakugua taarifa za wafanyabiashara wote nchini ili kuhakiki taarifa zao za biashara na kama wanatunza kumbukumbu za biashara zao.  Zoezi hili litafanywa na maofisa wa TRA ambao watapita  sehemu za biashara kufanya ukaguzi Wafanyabiashara wanaombwa kutoa... [Read More]
16 February 2016
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwafahamisha wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla kwamba inaboresha mfumo wa mashine za kielektroniki za kodi (EFD). Ili maboresho hayo yapokelewe na kukubalika katika mashine za EFD, wafanyabiashara wanashauriwa kuzima na kuwasha mashine za EFD.

Pages

Ad
Subscribe to Biashara