Home » Tanzania

Tanzania

19 January 2016
SERIKALI kupitia Wizara ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto leo imetoa ripoti yake ya wiki juu ya mwenendo wa kipindupindu hapa nchini. Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam katika ofisi za wazara hiyo, Mkurugenzi wa Huduna za Kinga Nchini, Dk. Neema Rusibamayila amesema kuwa katika kipindi cha wiki moja... [Read More]
19 January 2016
MAMLAKA ya Mawasiliano TCRA imevifungia vituo 21 vya Radio na 6 vya TV kwa kushindwa kulipa kodi ya lesseni kwa wakati. Akitangaza uamuzi huo, Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy, amesema vituo hivyo vimefungiwa kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Jumatatu ya January 18 mwaka huu na kwamba mitambo ya vituo hivyo itazimwa... [Read More]
15 January 2016
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, (wanne kutoka kushoto), Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Susan Kolimba, (watatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, EALA, kutoka Tanzania, Mh. Shy-Rose Bhanji, 9wakwanza kushoto), Mh.... [Read More]
14 January 2016
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka watanzania kujikita katika kuimarisha miundombinu  ili kukuza uchumi, kuimarika kwa miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa shughuli mbalimbali mfano kilimo na biashara. Akizungumza  na  wadau wakati akifungua  mkutano wa Miradi ya Ubia katika Ujenzi wa Miundombinu kati ya Tanzania na Japan(TANZANIA -JAPAN... [Read More]
14 January 2016
Jumla ya raia wa kigeni 15 waliobanika kufanya kazi kinyume na taratibu za kisheria  katika mgodi wa Tanzanite One uliopo wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameondoshwa nchini tarehe 25 Desemba, mwaka jana.   Hayo yalielezwa jana jijini Arusha na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya... [Read More]
14 January 2016
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini, Eugene Kayihura. Ambapo amemuahidi kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Rwanda. Akizungumza na Balozi  Kayihura  jana ,(jumatano 13, 2016) ofisini kwake, Magogoni jijini Dar es salaam, Waziri Mkuu amemshukuru  Balozi huyo kwa kumtembelea na ameahidi kuwa... [Read More]
13 January 2016
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kufungua Jengo la Wagonjwa wa Nje Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja,katika shamra shamra za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kutimia miaka... [Read More]
13 January 2016
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na wananchi katika sherehe za uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika kiwanja cha ndege cha Pemba jana ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Majid na (kushoto) ... [Read More]
13 January 2016
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteremka katika gari maalum alilopanda wakati akiwasalimia wananchi katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan

Pages

Ad
Subscribe to Tanzania