Home » Tanzania

Tanzania

05 October 2017
RAIS DKT MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI WAPYA WA TANZANIA NCHINI MISRI NA ZAMBIA     Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Issa Suleim Nassor kuwa balozi wa Tanzania nchini Misri Ikulu jijini Dar es salaam Oktoba 5, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kimkabidhi nyenzo... [Read More]
14 September 2017
#Muswada unapendekeza kutungwa kwa sheria itakayoanzisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) ambalo litakuwa na jukumu la kusimamia, kuendeleza miundombinu ya reli na kutoa huduma ya usafiri wa reli - Prof. Makame Mbarawa. #Madhumuni ya muswada ni kuweka mfumo madhubuti wa utoaji huduma ya usafiri wa reli, usimamizi na uendelezaji wa miundombinu ya... [Read More]
14 September 2017
Rais John Magufuli ameivunja Mamlaka ya Usimamizi wa Mji Mdogo wa Kigamboni (KDA) na  sasa shughuli zake zinahamishiwa katika Manispaa ya Kigamboni. Akizungumza leo Jumatano,Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema ametumwa na Rais Magufuli kutangaza uamuzi huo. "Kumekuwa na mgongano katika usimamizi wa ardhi kati ya... [Read More]
14 September 2017
  Na: Thobias Robert Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza rasmi kukusanya kodi kwenye michezo ya kubahatisha kama ambavyo ilikabidhiwa jukumu hilo kuanzia Julai Mosi 2017 kwa mujibu wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2017. Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA Bw. Richard Kayombo alipokuwa... [Read More]
30 August 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda Wamesitisha zoezi la BOMOA BOMOA kwa Nyumba zaidi ya elfu kumi na saba (17, 000) zilizotangazwa KUBOMOLEWA na Baraza la Hifadhi ya Mazingira NEMC. Hatua ya kusitisha zoezi hilo, Imekuja kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es... [Read More]
25 August 2017
Mkuu wa Mkoa wa dar es Salaam Mh Paul Makoknda amepokea pikipiki 10
14 August 2017
Rais wa Jamhuri ya Nchi za Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah el-Sisi awasili nchini kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili. Apokelewa na Rais John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili. Apokelewa na Rais John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege... [Read More]
14 August 2017
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kheir (kushoto) mara alipowasili katika Uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo akiwa... [Read More]
14 August 2017
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amezindua ujenzi wa Mji wa Safari pamoja na kuwapa hati wakazi 100 wa mji wa Arusha.   Safari City ni mji wa kisasa uliopangwa vizuri kwa kufuata sheria na kanuni za mipango miji uliopo Jijini Arusha.Eneo hili limepangwa viwanja vya nyumba za makazi, ofisi, biashara, hoteli, shule... [Read More]

Pages

Ad
Subscribe to Tanzania