Home » Kenyatta

Kenyatta

07 January 2016
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anawataka wazazi na jamii kwa jumla kushirikiana na serikali na kuwafichua vijana wanaojiunga na makundi ya kijihadi au kwenda kujiunga na kundi la Al Shabab nchini Somalia. Akizungumza na vijana kutoka majimbo ya Pwani mjini Mombasa, rais Kenyatta amesisitiza kuwa kuwaficha wahalifu kutasaidia kuhatarisha maisha ya... [Read More]
Ad
Subscribe to Kenyatta