Sudani Kusini wamevionya vikos

Viongozi wanaosimamia zoezi la usitishwaji mapigano nchini Sudani Kusini wamevionya vikosi vya pande mbili zinazokinzana nchini humo kuwa jumuiya ya kimataifa inaelekea kukosa uvumilivu kufuatia hatua yao ya kushindwa kutekeleza mkataba wa amani walioutia saini miezi 7 iliyopita.