Home » Node

TPSF yafurahishwa na mwanzo mpya wa Rais Samia Hassan

Taasisi ya sekta binafsi nchini Tanzania TPSF imeelezea kufurahishwa na mwanzo mpya wa rais Samia Suluhu Hassan kutazama na kuona wazi dhamira yake juu ya wawekezaji wa serikali.

Taasisi ya sekta binafsi nchini Tanzania TPSF imeelezea kufurahishwa na mwanzo mpya wa rais samia suluhu Hassan kutokomeza na kuona wazi dhamira yake juu ya wawekezaji, kadhalika kuitaka mamlaka ya kutunga sera ya maendeleo kuhusu sekta hiyo.

Wakuu wa SADC walaani uasi nchini Msumbiji

Viongozi wa mataifa ya Kusini mwa Afrika wametoa taarifa ya pamoja inayoeleezea wasiwasi wao kuhusiana na machafuko ya makundi ya itikadi kali yanayoendelea kaskazini mwa Msumbiji.

Viongozi wa mataifa ya Kusini mwa Afrika wametoa taarifa ya pamoja inayoeleezea wasiwasi wao kuhusiana na machafuko ya makundi ya itikadi kali yanayoendelea Kaskazini mea Msumbiji  yaliyosababisha vifo vya maelfu ya watu na wengine wengi kuyakimbia makazi yao. 

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS