Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme katika mto Rufiji utakaotekelezwa kwa muda wa miezi 42 kuanzia sasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu wa Misri Mhe. Dkt. Mustafa Madbouly tarehe 12 Desemba, 2018 wameshuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme katika mto Rufiji utakaotekelezwa kwa muda wa miezi 42 kuanzia sasa.




















