Home » Node

Rais Dkt. Magufuli ameendelea na ziara yake katika mikoa ya Mwanza na Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 04 Septemba, 2018 ameendelea na ziara yake katika mikoa ya Mwanza na Mara kwa kufungua viwanda 3 vya kampuni ya Lakairo, kuzindua ujenzi wa kiwango cha lami kwa barabara ya Bulamba – Kisorya (51km), kufungua mradi wa maji katika kijiji cha Nebuye kwa ajili ya wananchi wa Nansio, kuzindua ujenzi wa chuo cha ualimu cha Murutunguru na kuzungumza na wananchi.

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS