Home » Node

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete awasili Tunis

Version:1.0 StartHTML:0000000167 EndHTML:0000005224 StartFragment:0000000457 EndFragment:0000005208

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika wa Usuluhishi wa Mgogoro wa Libya, amewasili jana Jijini Tunis nchini Tunisia  kushiriki Mkutano wa 8 wa Nchi majirani wa Libya.

 

Mkutano huo umeitishwa na Serikali ya Tunisia, na ni muendelezo wa jitihada za nchi majirani kusaidia kuleta hali ya amani na usalama nchini Libya.

 

Vyama 12 visivyokuwa na wabunge Alhamisi vimetangaza kushiriki Uchaguzi wa marudio siku ya Jumapili, Machi 20, mwaka huu visiwani Zanzibar.

Vyama 12 visivyokuwa na wabunge Alhamisi vimetangaza kushiriki Uchaguzi wa marudio siku ya Jumapili, Machi 20, mwaka huu visiwani Zanzibar.

Wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, baadhi ya viongozi wa vyama hivyo wamesema wameamua kushiriki kwa vile uchaguzi ndio njia pekee ya kuwapata viongozi kwa njia ya kidemokrasia

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS