Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha wakuu wa mikoa 25
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 15 Machi, 2016 amewaapisha wakuu wa mikoa 25, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).




















