Zubeir Ali Maulid spika Mpya Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Hatimaye wajumbe wa Baraza la Wawakilishi watokanao na Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo wamefanya Uchaguzi wa kumpata mjumbe atakaye peperusha bendera ya CCM katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Spika wa Baraza hilo, kwa kipindi cha mwaka 2015 – 2020.

















