Home » Node

Ndege za kivita za jeshi la MONUSCO, DRC, zimefanya mashambulizi

Ndege za kivita za jeshi la MONUSCO nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, hii leo zimefanya mashambulizi kulenga ngome za waasi wa mashariki mwa nchi hiyo wa ADF, ambapo watu kadhaa wameripotiwa kufa na wengine kujeruhiwa.

Naibu kamanda wa vikosi vya kulinda amani vya umoja wa Mataifa nchini humo, MUNUSCO, Jean Baillaud amethibitisha kutekelezwa kwa operesheni hiyo ambayo amesema imetekelezwa kwa pamoja kwa kushirikiana na vikosi vya Serikali vya FARDC.

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS