Kiongozi wa waasi Riek Machar hakufika jijini Juba siku ya Jumatatu kama ilivyotarajiwa.
Waangalizi wa utekelezwaji wa mkataba wa amani nchini Sudan Kusini wanaonya kuwa kutorejea kwa kiongozi wa waasi Riek Machar jijini Juba siku ya Jumatatu au jana kama ilivyotarajiwa, kunahatarisha kuzua tena kwa mapigano nchini humo.












