Staffan de Mistura amepongeza maendeleo ya usitishwaji mapigano
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Syria Staffan de Mistura amepongeza maendeleo ya usitishwaji mapigano, lakii hata hivyo amesema hakuna dhamana ya hali hiyo kuendelea.
Hata hivyo Demistura amesema hali ilivyo kwenye uwanja wa mapambano ni tulivu, lakini ni dhaifu, hivyo hakuna dhamana ya utulivu huo kuendelea kushuhudiwa. Vikao vinaendelea kuhakikisha pande zote mbili zinaendelea kuhsimisha makubaliano.

















