Rais Magufuli akutana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia Bi. Bella Bird Ikulu Dsm
Mwakilishi wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia Bi. Bella Bird amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa benki hiyo imejipanga kuendelea kutoa mikopo nafuu kwa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini ili kukuza uchumi na kupunguza umasikini.
Mfumo wa Rais wa Kukusanya Mapato Kielekroniki eRCS umepaisha mapato ya kodi ya makampuni ya simu kwa 102%
Na Mwandishi wetu
Mfumo wa Kukusanya Mapato Kielekroniki (eRCS) umeonyesha mafanikio makubwa kwa miezi mitatu ya mwanzo ya Julai, Agosti na Septemba 2017, baada ya Makusanyo ya Kodi kwa Upande wa Zanzibar (ZRB) kupitia eRCS kufikia Shilingi Bilioni.7.2, ukilinganisha na Shilingi Bilioni 3.5, ZRB walizokusanya kipindi Kama hicho mwaka 2016 kabla ya mfumo wa eRCS.
Uchaguzi Mdogo wa Madiwani 26 Novemba2017 - NEC yaridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni
SERIKALI KUPATA MABILIONI YA SHILINGI KUTOKANA NA ALMASI ILIYOKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA JNIA
Waziri wa Madini, Angela Kairuki amesema kuwa serikali inataraji kupata mrabaha zaidi katika madini ya Almasi yaliyokamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere kutoka kwa Kampuni ya Williamson Diamond iliyokuwa ikitaka kutoroshwa madini nchini kwenda Ubelgiji.
KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO BW. DOTO JAMES AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU DENI LA TAIFA
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James amewatoa hofu watanzania kuhusu ongezeko la Deni la Taifa akisisitiza kuwa Deni hilo ni himilivu.
Alikuwa akitolea ufafanuzi kuhusu baadhi ya watu na vyombo vya habari vinavyozungumzia Deni la Taifa kwa kutumia neno Deni la Taifa “linapaa”
BENKI YA DUNIA YAIPATIA TANZANIA MKOPO NAFUU WA BILIONI 340 KUENDELEZA UTALII UKANDA WA KUSINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachi wa Wilaya ya Misenyi wakati akielekea katika kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar
Uchaguzi DRC kufanyika Desemba 2018

Tume ya Uchaguzi nchini DR Congo imetangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa urais na kurejelea kauli yake ya awali baada ya balozi wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa Nikki Haley kuonya kutokea kwa vurugu kama uchaguzi hautafayika haraka.
'Niko tayari kumrithi mume wangu' Grace Mugabe.















