Home » Node

Makamu wa rais awaomba viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa

Makamu wa Rais , SAMIA  SULUHU  HASSAN amewaomba Viongozi wa Dini kuendelea kuiombea nchi Amani na Utulivu ili Serikali iweze kutimiza Ahadi ilizotoa kupitia Ilani wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Akizungumza na Viongozi wa Madhehebu mbalimbali ya Dini kupitia Kamati ya Mahusiano ya Kidini mjini Dodoma, SAMIAH ameshukuru kwa Maombi yaliyofanywa kabla ya Uchaguzi mkuu na kukiri kuwa Uongozi uliopatikana una kazi kubwa ya kufanya.

Kiwanda cha urafiki chaagizwa kuwalipa wafanyakazi wake mshahara

Mkuu wa wilaya KINONDONI, PAUL MAKONDA ameuagiza uongozi wa kiwanda cha nguo cha Urafiki cha jijini DSM, kuwalipa wafanyakazi wake mapunjo ya mshahara kutokana na uamuzi wa kesi iliyofunguliwa mwaka 2008.

Akizungumza na uongozi na wafanyakazi katika kiwanda hicho MAKONDA, amewataka wafanyakazi kusitisha mgomo na kurejea kazini huku akiuataka uongozi wa kiwanda kutekeleza amri ya mahakama ya kuwalipa wafanyakazi stahili zao. Katika hatua nyingine MAKONDA ametoa ushauri kwa serikali juu ya kuweka uwekezaji wenye tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

MAGUFULI avipongeza vyombo vya ulinzi na usalama

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi- CCM, Dkt JOHN MAGUFULI amevipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri ya kuendeleza utulivu na amni nchini na kuahidi kuboresha maslahi yao zaidi mara baada ya kupata ridhaa ya kuingoza nchi.

Dkt. MAGUFULI ametoa pongeza hizo katika wilaya za MKINGA na BUMBULI mkoani TANGA katika muendelezo wa kampenzi zake za kusaka kura kwa wananchi wa mkoa wa TANGA.

MAGUFULI aahidi kuhubiri amani

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi -CCM Dakta JOHN MAGUFULI amesema kuwa siku zote katika maisha yake atahubiri amani kwa watanzania vinginevyo hafai kuwa Rais kwa kuwa amani ndio msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani.

Dakta MAGUFULI amesema hayo Mjini BUTIAMA katika mkutano wake wa kwanza wa Kampeni  Mkoani MARA.

RAIS MAGUFULI kuanza ziara yake ya kwanza mkoani DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta JOHN MAGUFULI anatarajiwa kwa mara ya kwanza kuwasili Makao Makuu ya nchi Mjini DODOMA kwa ziara rasmi ya kikazi.

Katika ziara hiyo Rais MAGUFULI pamoja na mambo mengine anatarajiwa kuzindua Bunge la Kumi na Moja na kupendekeza jina la Waziri Mkuu wake.

Pia kikao hicho cha kwanza cha Bunge la Kumi na Moja kitapata nafasi ya kumchagua Spika wake mpya atakayesimamia shughuli za bunge kwa Miaka MITANO ijayo

Official suspended over Mugabe's 'wrong-sized cap'

A University of Zimbabwe official has been suspended for allegedly supplying President Robert Mugabe with an ill-fitting graduation cap.

Assistant registrar Ngaatendwe Takawira caused embarrassment for university administrators by procuring a cap which was too small for the 92-year-old leader, according to her suspension letter, quoted in local media.

Ms Takawira denies the allegations.

The president's office is not thought to have made a complaint.

Tanzania polls: Zanzibar president's term extended

Zanzibar's president has had his term extended after elections on the semi-autonomous Tanzanian archipelago were cancelled last week by the electoral chief, citing fraud.

Ali Mohamed Shein's term in office was due to expire on Monday.

He was seeking re-election as the ruling CCM's candidate; his rival Seif Sharif Hamad has declared himself the winner of the 25 October vote.

Tanzania's outgoing leader says he is mediating to find a peaceful outcome.

Over the weekend, two small bombs exploded on the main island of Zanzibar - no casualties were reported.

Man who's never flown before builds plane from scratch... But will it fly?

(CNN) - On June 15 2015, Asmelash Zeferu sat at the end of a runway, over a decade of work malfunctioning around him. The Ethiopian amateur pilot was as shattered as his propeller.

There had been doubters, those who had called him "mad." Many had turned up at the airfield, 40 kilometers north of Addis Ababa, to watch him take off. He had been ready to prove them wrong.

But it wasn't to be. The propeller, hand-crafted from laminated wood, had broken.

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS