CHAN 2016: Rwanda yaweka historia
Rwanda inaingia katika vitabu vya kihistoria kwa kuandaa mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza nyumbani CHAN, kuanzia Jumamosi hii.
Hii ni mara ya kwanza kwa mashindano haya kufanyika nchini Rwanda na katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kat,i tangu kuzinduliwa kwake mwaka 2009 nchini Cote D'voire.






![Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kufungua Jengo la Wagonjwa wa Nje Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja,katika shamra shamra za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 (wa pili kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo Jecha,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_1832.jpg?itok=1Vk4KL2-)
![Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kufungua Jengo la Wagonjwa wa Nje Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja lililojengwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali kutoka Uingereza (HIPZ) ikiwa ni katika shamra shamra za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 (wa pili kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo Jecha,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_1836.jpg?itok=NvvTve6G)
![Meneja Mipango wa Shirika lisilolakiserikali kutoka Nchini Uingereza (HIPZ) Bibi Pamela Allard akitoa salamu zake wakati wa ufunguzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A.Unguja leo lililofunguliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwyinyihaji Makame Mwadini ,kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_2081.jpg?itok=8dMP4vno)

![Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwyinyihaji Makame Mwadini akipokea Kadi ya Mfuko wa Taifa wa Afya Kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mfuko huo Bw,Michael Mhando,kadi hiyo imetolewa kwa ajili ya Mzee Makame Mjombo wa Gamba mweye umri wa miaka 140,wakati wa sherehe za ufunguzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A.Unguja leo lililofunguliwa kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_2177.jpg?itok=7jGJM-eJ)
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya Ngege Zanzibar Kepten Saidi Iddi Ndumbugani, kuhusu aina ya Taa mbali mbali zilizofungwa kwa uongozaji wa Ndege wakati wa ikitua katika sherehe ya uzinduzi wa Taa za kuongozea Ndege kwenye kiwanja cha ndege cha Pemba uliofanyika jana ikiwa ni katika maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_0745.jpg?itok=MAySYi7-)
![Aina ya Taa zilizokuwa mwishoni mwa kiwanja cha ndege cha Karume Pemba zikiwa na Rangi ya Nyekundu na Buluu ambazo hutoa ishara kwa Kepteni anayeongoza Ndege ikitua,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi mbali mbali aliofuatana nao walijionea taa hizo namna zilivyofungwa katika utaratibu maalum wakati uzinduzi wa Taa za kuongozea Ndege kwenye kiwanja cha ndege cha Pemba uliofanyika jana ikiwa ni katika maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_0835.jpg?itok=tKi9WnwV)
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifungua pazia kama iskara ya Uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika kiwanja cha Ndege cha Karume Pemba jana ikiwa ni katika sherehe za shamra shamra za maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi(GAVU),[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_0907.jpg?itok=UMmwqpo1)

![Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Dk.Juma Malik Akili alipokuwa akitoa maelezo ya kitaalam kuhusu mradi wa uwekaji wa Taa za kuongozea Ndege katika sherehe za uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika kiwanja cha ndege cha Pemba jana ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_1029.jpg?itok=Y7pE1AfP)
![Naibu Waziri wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi(GAVU) akitoa slamau za Wizara pamoja na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kuzungumza na wananchi katika sherehe za uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika kiwanja cha ndege cha Pemba jana ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_1032.jpg?itok=7xIaQj-n)
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na wananchi katika sherehe za uzinduzi wa Taa za Kuongozea Ndege katika kiwanja cha ndege cha Pemba jana ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Majid na (kushoto) Naibu Waziri wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi(GAVU), [Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_1054.jpg?itok=2ES6KpJ9)





![Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo katika killele cha sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52,zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3002.jpg?itok=fFvXfYNy)
![Pichani kutoka kushoto Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakiwa katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja ,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3010.jpg?itok=CggcjFh8)
![Baadhi ya Wananchi na Maafisa mbali mbali wa Serikali wakiwa katika sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52,zilizofanyika katika Uwanja wa Amaani Studium Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3017.jpg?itok=kXwxXzdf)
![Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu wakati alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja katika Kilele cha sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52,ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3048.jpg?itok=kXOlk56q)

![Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3121.jpg?itok=WKcY_qH_)
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wananchi walioshiriki katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan akiwa katika gari maalum,[Picha na Ikulu.]](https://www.focusmedia.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/DSC_3263.jpg?itok=lkRY33Sk)




