Mfahamu Mh. Job Yustino Ndugai - Spika wa Bunge la 11
Personal Background
First Name: Job
Middle Name: Yustino
Surname: Ndugai
Wafahamu wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wananchi Zanzibar wametoa pongezi kwa Dk John Pombe Magufuli
Wananchi Zanzibar wametoa pongezi baada ya Kufurahishwa na utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania Dk John Pombe Magufuli.
Mzee Suleimani Nzoli Polisi wa Zamani enzi za Ukoloni anasema "Tulikuwa tunaishi kwa uchungu na manung'uniko sana kwa kile kilichokuwa kikiendelea Nchini, rushwa, ubadhilifu na ukosefu wa nidhamu"
Wazee Wazanzibar watoa Pongezi kwa Dk Magufuli.
Wananchi Zanzibar, wametoa pongezi baada ya Kufurahishwa na utendaji wa Rais wa Muungano Dk John Pombe Magufuli.
Mzee Suleimani Nzoli Polisi wa Zamani enzi za Ukoloni anasema "Tulikuwa tunaishi kwa uchungu na manung'uniko sana kwa kile kilichokuwa kikiendelea Nchini, rushwa, ubadhilifu na ukosefu wa nidhamu"
Mwanasheria NAJIMA GIGA afafanua tofauti iliyopo kati ya NEC NA ZEC
Mwanasheria NAJIMA GIGA afafanua tofauti iliyopo kati ya NEC NA ZEC
Hali ya kisiasa nchini Zanzibar
Hali ya Siasa nchini Zanzibar isipotoshwe
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anawataka wakenya kuwafichua Magaidi
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anawataka wazazi na jamii kwa jumla kushirikiana na serikali na kuwafichua vijana wanaojiunga na makundi ya kijihadi au kwenda kujiunga na kundi la Al Shabab nchini Somalia.
Akizungumza na vijana kutoka majimbo ya Pwani mjini Mombasa, rais Kenyatta amesisitiza kuwa kuwaficha wahalifu kutasaidia kuhatarisha maisha ya wakenya.
Wananchi kutumia simu zao za mkononi kuhakiki taarifa za ardhi
Wananchi kutumia simu zao za mkononi kuhakiki taarifa za ardhi soma zaidi
Muhongo, ameiomba Norway kuisaidia Tanzania kupitia mafunzo ya uchimbaji wa gesi,mafuta
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospter Muhongo, ameiomba nchi ya Norway kuisaidia Tanzania kupitia mafunzo hususan katika utafutaji na uchimbaji wa gesi na mafuta ili kuongeza wataalam wa gesi na mafuta nchini.
Profesa Muhongo aliyasema hayo katika kikao chake na balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad aliyeambatana na ujumbe wake uliomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam.














