Home » Node

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anawataka wakenya kuwafichua Magaidi

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anawataka wazazi na jamii kwa jumla kushirikiana na serikali na kuwafichua vijana wanaojiunga na makundi ya kijihadi au kwenda kujiunga na kundi la Al Shabab nchini Somalia.

Akizungumza na vijana kutoka majimbo ya Pwani mjini Mombasa, rais Kenyatta amesisitiza kuwa kuwaficha wahalifu kutasaidia kuhatarisha maisha ya wakenya.

Muhongo, ameiomba Norway kuisaidia Tanzania kupitia mafunzo ya uchimbaji wa gesi,mafuta

Na Greyson Mwase, Dar es Salaam

Waziri  wa Nishati na Madini Profesa Sospter Muhongo,  ameiomba nchi ya Norway kuisaidia  Tanzania kupitia mafunzo  hususan katika utafutaji na uchimbaji wa gesi  na mafuta ili kuongeza wataalam wa gesi na mafuta nchini.

Profesa Muhongo aliyasema hayo katika kikao chake na balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad aliyeambatana na ujumbe wake uliomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS