Wabunge wajifunze Elimu ya Uraia - Mh. Samia Suluhu
#000000">MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameitakaTaasisi ya Hans Seidel Foundation isaidie kupeleka elimu ya uraia bungeni ili wabunge wajue wajibu wao ndani na nje ya Bunge.


















