Vongozi mbalimbali duniani wanaedelea kutuma risala za rambirambi baada ya kuuawa kwa Mbunge wa chama cha Leba Jo Cox
Vongozi mbalimbali duniani wanaedelea kutuma risala za rambirambi baada ya kuuawa kwa Mbunge wa chama cha Leba Jo Cox hapo jana aliyepigwa risasi na kudungwa kisu.
Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 41, alishambuliwa wakati alipokuwa katika eneo bunge lake na mwanamume ambaye tayari ameshakamatwa na inadaiwa kuwa alimtamka neno Uingereza kwanza kabla ya kutekeleza shambulizi hiyo.















