Rais Dkt. John Pombe Magufuli,amwapisha Mh. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mh. Mwigulu Nchemba kuwa waziri mpya wa Mambo ya ndani
Rais John Pombe Magufuli kumteua mbunge wa Buchosa Dk Charles John Tizebe kuwa waziri wa kilimo na mifugo na kumuhamisha waziri Mwigulu Nchemba kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi.
NIDA Kutoa namba za UTAMBULISHO kwa kila raia
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza kutoa vitambulisho vya Taifa vyenye saini ya mwombaji kuanzia mwezi Juni mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Mamlaka hiyo Rose Mdami wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Mohamed Ali kuzikwa Ijumaa
Dunia imealikwa kuhudhuria msiba wa Muhammad Ali, kwenye mji alikozaliwa siku ya Ijumaa ambako maisha ya nguli huyu wa masumbwi yatasherehekewa huku uma ukipewa nafasi ya kushiriki mazishi na ibada ya kumbukumbu, amesema msemaji wa familia ya Ali.
SOMA: HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO YA MAKADIRIO YA MAPATO KWA MWAKA 2016/2017
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2016/2017
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Azindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Tanzania na Akaunti ya Makaika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Jukwa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Tanzania na Akaunti ya Malaika katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es salaam leoMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Jukwa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Tanzania na Akaunti ya Malaika katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es salaam leoMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Rais Magufuli ameagana na Balozi wa Italia hapa nchini Mheshimiwa Luigi Scotto
Rais Magufuli ameagana na Balozi wa Italia hapa nchini Mheshimiwa Luigi Scotto ambaye amemaliza muda wake wa miaka mitatu.
Balozi Luigi Scotto amesema katika kipindi chake amewezesha kuongezeka kwa biashara kati ya Italy na Tanzania kwa asilimia 35 na ameielezea Tanzania kuwa ni nchi nzuri aliyoipenda na kwamba ataendelea kutangaza fursa zilizopo Tanzania huko Italia na kwingineko.
Tanzania kupata Dola milioni 800 kutoka Marekani.
Version:1.0 StartHTML:0000000167 EndHTML:0000007470 StartFragment:0000000457 EndFragment:0000007454
Marekani itatoa dola milioni 800 kwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.
WANAHABARI SACCOS Kuanzishwa Tanzania
Wanahabari nchini Tanzania wameungana ili kuanzisha “WANAHABARI SACCOS” katika mkutano wao wa kwanza wa maandalizi uliofanyika leo 29May2016 jijini Dar es salaam Katika Mgahawa wa City Sports Longe mkabala na mnara wa askari Posta.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na wajumbe wasiopungua Ishirini na wawili, WANAHABARI SACCOS inadhamiria Kuinua, kustawisha na kuboresha hali ya uchumi na kijamii kwa Wanahabari wanachama, kwa kuwahamasisha kuchukua mikopo yenye manufaa na riba nafuu pamoja na huduma nyingine za kifedha kwa kutumia mfumo wa kisasa.




























