Home » Node

Mkurugenza wa NEC Kailima Ramadhan Akemea MwanaHALISI awataka waiombe radhi

"Tume ya Taifa ya Uchaguzi inamtaka Mhariri wa MwanaHALISI KUIOMBA RADHI TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, UKURASA WA MBELE WA TOLEO LIJALO KAMA ALIVYOFANYA KATIKA GAZETI HILO.
Kama wasipofanya hivyo Tume ya Taifa ya Uchaguzi italichukulia Gazeti la MwanaHALISI hatua za Kisheria."

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inapenda kutaarifu Umma na Watanzania kwa ujumla kuwa Jimbo la Kijitoupele lililoko Zanzibar ni miongoni mwa Majimbo hamsini(50) ambayo yalitegemewa kufanya uchaguzi mkuu tarehe 25, oktoba,2015.

Amiri Jeshi Mkuu aagiza kikosi cha Nyumbu kuimarishwa

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais JOHN MAGUFULI ameiagiza Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kuimarisha kikosi cha NYUMBU ili kukidhi malengo ya kuanzishwa kwake ikiwa ni pamoja na kutengeneza silaha mbali mbali za kijeshi.

Amiri Jeshi Mkuu ametoa kauli hiyo jijini ARUSHA wakati wa kuhitimisha mafunzo ya zoezi la kuonesha uwezo wa medani katika komandi ya 303 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ambapo amesema  ana imani kuwa Jeshi litajipanga vizuri ili kikosi hicho kitekeleze malengo yaliyokusudiwa.

SAUTI - Uchaguzi Zanzibar kufanyika tarehe 20.03.2016

Uchaguzi Zanzibar kufanyika tarehe 20.03.2016
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza tarehe ya marudio ya uchaguzi visiwani humo baada ya matokeo ya uchaguzi uliopita kufutwa.

Uchaguzi huo sasa utafanyika Jumapili Machi 20, 2016. Tangazo hilo limetolewa na mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha.

Bw. Jecha amesema tarehe hiyo iliamuliwa na tume baada ya mkutano hapo jana.

Pages

Ad
Subscribe to Focus Media RSS